• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

WAZIRI JAFO ATANGAZA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2021

Tarehe ya kuwekwa: December 17th, 2020

Jumla ya wanafunzi 759,706 sawa na asilimia 91.1 ya wanafunziwaliofaulu wakiwemo wavulana 368,174 na wasichana 391,532 wamechaguliwakujiunga na masomo ya kidato cha kwanza mwaka 2021.

Kaulihiyo imebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikaliza Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo wakati akitoa taarfa ya uchaguzi wawanafunzi wa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza mwaka 2021 leo jijiniDodoma.

AkizungumzaMhe. Jafo amesema kuwa kati ya wanafunzi 4,169 wamechaguliwa kujiunga na shuleza bweni ambapo wanafunzi 970 watajiunga na shule za wanafunzi wenye ufaulumzuri Zaidi.

PiaMhe. Jafo amesema kuwa wanafunzi 1,238 watajiunga na shule za ufundi, wanafunzi1,961 watajiunga na shule za bweni za kawaida.

Wanafunzi755,537 wakiwemo wavulana 362,247 na wasichana 385,665 wamechaguliwa kujiungana shule za Sekondari za kutwa katika maeneo mbali mbali nchini.

“Miongonimwa waliochaguliwa, wanafunzi wenye mahitaji maalum ni 2,491 wakiwemo wavulana1,312 na wasichana 1,179 sawa na asilimia 75.0 ya wanafunzi wenye ulemavuwaliofanya mtihani huo.

Mhe.Jafo ameeleza kuwa jumla ya mikoa tisa ya Kagera, Katavi, Lindi, Mtwara,Mwanza, Njombe, Ruvuma, Songwe na Tabora imeweza kupangia shule wanafunzi wotewaliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2021.

Hatahivyo jumla ya wanafunzi 74,166 sawa na asilimia 8.9wakiwemo wavulana 34,861 nawasichana 39,305 hawakupangiwa shule katika awamu ya kwanza kutokana na uhabawa vyumba vya madarasa.

“Hivyowanafunzi wenye sifa ambao hawakupangiwa shule katika awamu hii ya kwanzawatapangiwa shule katika awamu ya pili kabla ya tarehe 28 Februari, 2021”,ameeleza Mhe. Jafo

Kwakuongezea Mhe. Jafo amesema kuwa wanafunzi hao wataendelea kupangiwa shulekadri Mikoa na Halmashauri zitakavyoendelea kukamilisha vyumba vya madarasa namadawati hadi kufikia tarehe 28 Februari, 2021.

Aidhaamewaagiza walimu na watendaji wa sekta ya Elimu katika ngazi zote kuongezabidii katika usimamizi na ufuatiliaji wa utoaji wa elimu ili kufikia malengo yaelimu yaliyopangwa na serikali.

“Ninatoawito kwa viongozi wa Mikoa na Halmashauri kushirikiana na wadau wa elimukukamilisha majengo na kuandaa mazingira ya kuwapokea wanafunzi wotewaliochaguliwa kuanza masomo yao mwezi Januari, 2021 bila vikwazo vya ainayoyote”, ametoa wito Mhe. Jafo.

Vilevile amesema kuwa wakuu wa mikoa na halmashuri kuhakikisha wanafunzi wotewanaripoti shuleni kwa wakati.

Mhe.Jafo amesema kuwa mzazi au mlezi ambaye atakuwa na hoja yoyote juu ya uchaguziwa wanafunzi afike Ofisi za Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri husika iliaweze kuhudumiwa ipasavyo.

Aidhaanaweza kupiga simu katika kituo cha huduma kwa wateja katika Ofisi ya RaisTAMISEMI kwa namba ya simu 026-2160210 AU atume ujumbe mfupi wa (SMS) auWhatsApp kwa namba ya 0735160210

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa