• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Mifugo

 MIFUGO NA UVUVI.

Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga ina  mifugo anuai ikiwemo ng’ombe 242327, mbuzi 91266, kondoo 16723, nguruwe 14382, punda 4759 na kuku wa asili 118132 pamoja na kuku wakisasa na ndege wengine. Idadi hii inatoa fursa za uwekezaji katika Nyanja za viwanda vya uchakataji wa vyakula vya mifugo, usindikaji nyama na maziwa, uchakataji ngozi za wanyama pamoja na fursa za maeneo ya ufugaji  na biashara ya ununuzi wa wanyama hai.

Ziwa Rukwa linatoa fursa  ya uwekezaji kwenye mialo iliyopo na ujenzi wa mialo mipya, ufugaji samaki ndani ya ziwa (caging system) na kwenye mabwawa(fish ponds).

    UFUGAJI.

Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga imegawanyika katika ukanda wa ufipa ya juu na ukanda wa bonde la ziwa Rukwa.  Ukanda wa ufipa ya juu una hali la joto la wastani na maeneo ya baridi( Makuzani) yafaayo kwa kufuga ng’ombe wa maziwa kimahususi na wanyama wengine kiujumla.  Maeneo ya kuchungia  mifugo ni ya watu binafsi nay a jamii(communal grazing). Halmashauri inamiliki hekta 16800 eneo la bonde la ziwa Rukwa linalofaa kwa uwekezaji wa ufugaji wa kisasa na ujenzi wa viwanda vya viwanda vya kusindika vyakula vya wanyama, nyama na uchakataji ngozi.

             

  BIASHARA  YA UFUGAJI

Kuku wa kienyeji wanaweza kuwa fursa kubwa ya kibiashara ukizingatia mahitaji ya shughuli  za kila siku zikiwemo sherehe. Hata hivyo pamoja na idadi kubwa iliyopo tija haiakisi vipato vya wananchi. Hii nikutokana na ufugaji wa kimazoea bila kuzingatia magonjwa na lishe.  Hivyo vijana na watu wote wanakaribishwa kutumia fursa ya ufugaji bora wa kuku wa kienyeji kwa  kuungana na wawekezaji wa vyakula vya mifugo ambapo nafaka(malighafi) zinapatikana kwa wingi. Fursa hii ipo pia kwenye ufugaji was nguruwe wa kienyeji ambapo wananchi wamekuwa wakiwaacha nguruwe wazurure. Hii ni fursa kwa wananchi kuwanunua nguruwe hawa wafugwao kimazoea na kuwafuga kisasa kwa kutumia fursa za ugani na vyakula zilizopo.

 FURSA ZA UJENZI WA VIWANDA.

Wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya kusindika maziwa ya ngo’mbe wa kienyeji na wa kisasa . Kwa idadi ya ng’ombe waliopo yanapatikana maziwa wastani wa lita 300000 kwa siku. Hii inakwenda sambamba na ujenzi wa viwanda vya uchakaji na usindikaji nyama na ngozi kutokana na uwepo wa  minada ya awali ya ng’ombe, mbuzi na kondoo  takribani saba.

 FURSA ZA UJENZI WA MIUNDO MBINU YA UFUGAJI.

Wawekezaji wana karibishwa kutumia fursa za ujenzi wa majosho binafsi kwaajili ya kudhibiti magonjwa ya wanyama pamoja na uchimbaji wa malambo ya kunyweshea mifugo.

             

 FURSA ZA HUDUMA ZA TIBA 

Wawekezaji katika uuzaji na utoaji wa huduma za tiba za mifugo wanaotambuliwa na Baraza la Veterinari Tanzania( VCT) wanakaribishwa kushirikiana na halmashauri katika kutoa huduma za veterineri(veterinary service practices).

FURSA ZA ZIWA RUKWA.

Pamoja na kutoa fursa za utalii, Ziwa  Rukwa linatoa fursa ya biashara ya samaki ambayo inatoa fursa ya uwekezaji wa mialo. Ufugaji wa mamba ni fursa pia kutokana uwingi wa mamba ziwani.  Wavuvi wenye boti za kisasa wanakaribishwa.

Matangazo

  • Matokeo ya kidato cha nne 2022 yatangazwa. January 29, 2023
  • Matokeo ya kidato Cha pili yatangazwa. January 04, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato Cha kwanza mwaka 2023 December 14, 2022
  • Matokeo ya Darasa la Saba yatangazwa. December 01, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI 31 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA KIPINDI CHA ROBO YA PILI NA YA TATU 2022/2023 KATIKA HAFLA YA KUKABIDHI MIKOPO ILIYOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA

    March 24, 2023
  • Taarifa Ya Utoaji Wa Misaada Kwa Wahitaji Siku ya Wanawake Duniani

    March 08, 2023
  • Taarifa Ya Makabidhiano Ya Safu Zamilima Ya Lyamba lyamfipa Na Msitu Wa Hifadhi Ilemba Kwa Wakala Wa Huduma Za Misitu

    February 28, 2023
  • Kikao cha Baraza Wah. Madiwani kwa aajili ya kujadili na kupitisha bajeti

    February 06, 2023
  • Tazama

Video

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dr. Haule akiwaasa Maafisa elimu kata juu ya utunzaji na matumizi sahihi ya pikipiki walizokabodhiwa
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 255755023952

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa