• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Waziri awataka Wakurugenzi kutoa mikopo kwa wanawake kabla ya June 30

Tarehe ya kuwekwa: March 10th, 2018


Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto imetoa miezi mitatu kwa Wakurugezni wa halmashauri zote nchini kuhakikikisha wanatoa mikoipo inayokidhi vigezo vya kibaiashara kwa makundi ya wanawake waliopo kwenye maeneo yao.

Wito huo umetolewa na Waziri mwenye dhamana na wizara hiyo Mh.Ummy Mwalimu katika kilele cha maazimisho ya Siku ya wanawake Duniani kilichofanyika kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga mkoani Rukwa.

Waziri Mwalimu alisema wapo baadhi ya Wakurugenzi wanaopuuzia kutoa mikopo hiyo ihali wakifahamu kuwa serikali ilipita na kutoa ahadi kwa wanawake kuwa itawezesha kiuchumi kwa kuwapa mikopo hiyo ambayo inatokana na mapato ya ndani ya halmashauri.

"Mimi kama Waziri mwenye dhamana nasubiri hadi Juni 30, mwaka huu na iwapo kutakuwa na Mkurugenzi ambaye hatatoa mikopo kwa wanawake kwenye eneo lake basi nitachukua majina yao na kuyapeleka kwa Mheshimiwa Rais John Magufuli ili aweze kuwachukulia hatua za kupuuza agizo hilo".Alisema Waziri huyo

Aidha Waziri Mwalimu alikemea tabia ya baadhi ya Wakurugenzi ambao wamekuwa wakitoa mikopo kiduchu kwa wanawake, kiasi kwamba inawawia vigumu kufanya biashara walizokusudia.

Alisema..."Utakuta Mkurugenzi anatoa mkopo wa kiasi cha shilingi laki tatu kwa kundi la wanawake sita , eti ili wagawane kila mtu shilingi elfu hamsini, hivi elfu hamsini unaweza kufanya biashara gani jamani? Na ndio maana hiyo mikopo wakitoa inashindwa kurejeshwa kwa sababu hao wanawake wanaamua kuzitumia kwa matumizi mengineyo fedha hizo."

Alisema mikopo inayotolewa lazima ilenge kumwezesha mwanamke kujikwamua kiuchumi na kuendana na hali halisi ya uchumi wa viwanda ambapo mkakati uliopo unalenga sana katika kumwezesha mwanamke aliyepo vijijini


(Picha na habari na Simon L. Kisika)


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 10, 2025
  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa