• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Wananchi wanufaika na Shiling Bilioni 1.4 wilayani Sumbawanga

Tarehe ya kuwekwa: April 9th, 2019

Mwenge wa uhuru umezindua, kuweka jiwe la msingi na kukagua miradi mbalimbali yenye thamani ya Shilingi Bilioni 1,449,073,079 uliokimbizwa 7/4/2019 katika halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga

Aidha miradi hiyo iliyowekea jiwe la msingi, kukaguliwa na kuzinduliwa ni Jengo la huduma ya wakala NMB lenye thamani ya TSh 42,300,000, Nyumba ya walimu(six in one) yenye thamani ya shs 174,977,775, Uanzishwaji wa shule ya sekondari kapenta yenye thamani ya shs 208,627,000, Klabu ya mapambano dhidi ya rushwa na madawa ya kulevya wenye thamani y ash 1,986,000, Ujenzi wa ghala la kuhifadhia mazao kijiji cha Sakalilo lenye thamani ya sh 101,200,000, Ujenzi wa shule ya msingi Maenje yenye thamani ya sh 73,000,000, Uboreshaji wa miundombinu kituo cha afya Milepa chenye thamani ya sh 438,739,000, mradi wa maji ya mserereko kijiji cha Msia wenye thamani ya sh 370,641,304, shamba darasa la Alizeti lenye ukubwa wa ekari  20 thamani yake sh 6,584,00

Pia kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Ndg Mzee Mkongea Ally katika kata ya Muze wilayani humo alikabidhi mikopo wanawake, vijana na walemavu sh 20,000,000, zawadi kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vzuri sh 3,000,000, vyandarua kwa wazee vyenye thamani y ash 1,000,000, ugawaji wa vitambulisho kwa wazeevyenye thamani ya sh 320,000, kukabidhi  mizinga 15 ya nyuki na seti 5 za mavazi ya kinga yenye thamani ya sh 2,000,000 na kutoa msaada kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu wenye thamani y ash 4,698,000

Aidha, wakati akitoa ujumbe wa Mwenge katika kijiji cha Kilyamatundu kata ya Kipeta wilayani humo, kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Ndg Mzee Mkongea Ally aliwaasa wanachi walinde vyanzo vya maji kwa kutokukata miti na kulima kwenye vyanzo vya maji.

Pia aliongeza, kwa kuwa mwaka 2019 ni mwaka wa uchaguzi wa serikali za mitaa, wananachi wanatakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali na kuchagua watu waadilifu na siyo kuchagua watu waliotoa rushwa kwa kuwa wagombea wanaotoa rushwa hawatawasaidia kutatua changamoto zinazowakabili

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa