• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Ufunguzi wa maadhimisho ya sherehe za nanenane Mbeya

Tarehe ya kuwekwa: August 5th, 2019

Wakulima na wafugaji wametakiwa kutumia fursa ya maonyesho ya nanenane kuweza kuongeza uzalishaji ili kukuza pato kwa familia na Serikali kwa ujumla, ikiwa ni pamoja na kuendana na kasi ya uchumi wa viwanda.

Maneno hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa TAMISEMI Mh.Mwita Waitara ambaye ndiye alikuwa Mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Manonesho ya Nane Nane 2019 kanda ya nyanda za juu kusini kwenye uwanja wa John Mwakangale Jijini Mbeya tarehe 03/08/2019.

Amesema elimu inayotolewa kwenye maonyesho hayo na wataalamu wa kilimo na mifungo iwe ni chachu kwa wakulima na wafugaji ili kukabiliana na changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo. Vile vile amewataka wataalamu wa kilimo hapa nchini kuhakikisha elimu na mafunzo yanayotolewa kwenye Maonesho ya Nane Nane yanawafikia wakulima na wafugaji waliopo vijijini ambao hawajapata fursa ya kufika kwenye maonyesho hayo.

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mh. Mwita Waitara amesema baada ya kutembelea mabanda mengi kwenye maonyesho hayo amebaini kuna ubunifu na utaalamu mkubwa uliopo kwenye sekta ya kilimo na mifugo lakini bado hauwanufaishi wakulima na wafugaji walio wengi.

Mh.Waitara amesema Halmashauri na wajasiriamali wengi wameweka vitu mbalimbali kwenye maenesho hayo, lakini anapata mashaka iwapo maarifa hayo yanatumika ipaswavyo katika kuhakikisha wakulima wanalima kwa kuzingatia taratibu huko walipo hususan maeneo ya vijijini.

Aliwataka wakuu wa Mikoa kusimamia uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo, tume ya ushirika kuanzisha na kusimamia vyama vya kukopa (SACCOS). Pia akawaagiza wakurugenzi kuhakikisha wanatoa mikopo kwa vikundi vya akina mama, vijana na walemavu ili waweze kuwekeza kwenye kilimo.

Mwisho aliwaeleza wananchi kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivyo basi akawataka watumie haki yao ya kimsingi ya kupiga kura kwa mgombea watakae ona anawafaa.  

Maadhimisho hayo ya sherehe za nanenaen kanda ya nyanda za juu kusini yanahusisha mikao ya Katavi, Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe na Ruvuma. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa ukuaji wa Uchumi wa Nchi”.

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa