• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MKUU WA MKOA WA RUKWA MH. QUEEN C. SENDIGA AWAKABIDHI WAHANGA WA MAAFA KIJIJI CHA MSILA NA KASEKELA MSAADA WA KIBINADAM

Tarehe ya kuwekwa: May 12th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Queen C. Sendiga akiambatana na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Sumbawanga na Mkoa pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga wametoa msaada wa kibinadam kwa wahanga wa mafuriko yaliyotokea kijiji cha Kasekela na Msila Kata ya Mfinga. Misaada iliyotolewa ni:- Misaada ilivyokabidhiwa ni pamoja na Maharage kilo 1120, unga wa sembe kilo 1440, Mafuta ya kupikia lita 154, mikeka 21, vyandarua 20, mablanketi 21, Sufuria za kupikia 21,  na miche ya miti  250 kwa ajili ya kupanda ili kurudisha uoto wa asili unaozidi kupotea.

Baada ya  kutoa msaada huo, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amewaagiza wananchi wa Kijiji cha Msila, Kasekela na wananchi wote wa Mkoa wa Rukwa kuondoka na kuacha kulima kandokando ya mito kwa hiyari yao wenyewe kabla ya kuondolewa kwa shuruti. Amewaambia wananchi hao kuwa mafuriko na mabadiliko ya tabia nchi yanachangiwa kwa kiasi kikubwa na uharibifu mkubwa wa mazingira unaofanyika kandokando ya mito, milimani na katika vyanzo vya maji na maeneo mengine.

Kiongozi huyo wa Mkoa ameitaka Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kutafuta dawa kwa ajili ya kutibu maji baada ya kupokea maombi ya wakaazi wa vijiji hivyo vilivyoathiriwa na mafuriko. Amemwelekeza Meneja wa Mamlaka hiyo Wilayani Sumbawanga kuhakikisha maji ya visima vilivyopo yanatibiwa ili wananchi wapate maji safi na salama kwa haraka wakati mradi mkubwa wa maji unaoendelea kutekelezwa kwa awamu ukiendelea.

Baada ya zoezi hilo kukamilika alitembelea na kukagua zahanati ya Uzia kata ya Muze na Hospitali ya Wilaya iliyojenga kata ya Mtowisa ili kukagua mwenendo wa ujenzi unaoendelea kwenye majengo hayo.

Matangazo

  • Matokeo ya kidato cha nne 2022 yatangazwa. January 29, 2023
  • Matokeo ya kidato Cha pili yatangazwa. January 04, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato Cha kwanza mwaka 2023 December 14, 2022
  • Matokeo ya Darasa la Saba yatangazwa. December 01, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA RUKWA MH. QUEEN C. SENDIGA AWAKABIDHI WAHANGA WA MAAFA KIJIJI CHA MSILA NA KASEKELA MSAADA WA KIBINADAM

    May 12, 2023
  • TAARIFA YA UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI 31 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA KIPINDI CHA ROBO YA PILI NA YA TATU 2022/2023 KATIKA HAFLA YA KUKABIDHI MIKOPO ILIYOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA

    March 24, 2023
  • Taarifa Ya Utoaji Wa Misaada Kwa Wahitaji Siku ya Wanawake Duniani

    March 08, 2023
  • Taarifa Ya Makabidhiano Ya Safu Zamilima Ya Lyamba lyamfipa Na Msitu Wa Hifadhi Ilemba Kwa Wakala Wa Huduma Za Misitu

    February 28, 2023
  • Tazama

Video

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dr. Haule akiwaasa Maafisa elimu kata juu ya utunzaji na matumizi sahihi ya pikipiki walizokabodhiwa
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 255755023952

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa