• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Kikao cha Baraza Wah. Madiwani kwa aajili ya kujadili taarifa za robo ya tatu

Tarehe ya kuwekwa: May 29th, 2022

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga likiongozwa na Mwenyekiti Mh. Gerald Kalolo Ntila na Katibu wake Bi. Lightness Msemo ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri, limeendesha vikao kwa muda wa siku mbili  kuanzia tarehe 27/5/2022 na kuhitimishwa tarehe 28/5/2022 katika ukumbi wa chuo cha kilimo Laela.

Kwa siku ya tarehe 27/5/2022 Baraza hilo limepokea taarifa zilizowasilishwa na Madiwani wa kila kata ambazo zilihusu mambo mbalimbali kama vile miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika kata, mwenendo wa mavuno ya mazao ya kilimo, shughuli za ufugaji, hali ya usalama, idadi ya watu na idadi ya watumishi waliopo katika idara ya mbalimbali.

Aidha kwa siku ya tarehe 28/5/2022, Baraza lilipokea taarifa ya mapato na matumizi iliyowasilishwa na Mweka Hazina Ndg. Itendele Limbe Maduhu kwa niaba ya Mkurugenzi, Mweka Hazina alisema kuwa “Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri ilikisia kukusanya mapato ya ndani na kupokea fedha toka kwa Wahisani na Serikali Kuu jumla ya Tsh  40,424,734,297.00 kwa mchanganuo ufuatao;-

  • TZS. 2,760,500,000.00   ni  kutokana  na  vyanzo vya ndani,
  • TZS. 1,881,153,380.00 ni  ruzuku toka Serikali Kuu (OC+GPG),
  • TZS. 25,015,906,917.00    ni ruzuku ya mishahara,
  • TZS. 10,767,173,999.97 ni Miradi ya Maendeleo (Serikali Kuu na Wahisani)        

A: MAPATO.

Mhe. Mwenyekiti,

Kwa   kipindi  cha  Mwezi Marchi 2022  Halmashauri imefanikiwa  kukusanya na  kupokea  jumla  ya   TZS 2,101,846,408.48 kutoka  kwenye  vyanzo mbalimbali.

Kati ya fedha hizo makusanyo yatokanayo  na mapato ya ndani  ni kiasi cha TZS  161,184,082.00 sawa   na asilimia   92 ya bajeti   ya makusanyo  kwa mwezi   Machi 2022 ambapo  ilipanga  kukusanywa   kiasi cha TZS 175,912,257.00   kutoka  kwenye  mapato   ya ndani.

Pamoja na makusanyo  ya mapato ya ndani  pia Halmashauri imepata fedha kutoka Serikali Kuu kwa  mchanganuo  ufuatao:

 Ruzuku  ya Mishahara  ni TZS 1,639,488,330.00 sawa  na asilimia 7 ya bajeti  ya mwaka Matumizi Mengineyo (OC )   ni TZS 25,706,583.33 sawa  na asilimia 1 na Fedha  za Miradi  ya Maendeleo ni kiasi  cha TZS 275,467,413.15sawa   na asilimia 3

Makusanyo  hayo  ya  mwezi Machi 2022  yamepelekea    kuwa  na  jumla ya  makusanyo  ya kiasi cha TZS  25,107,741,648.73kwa  kipindi cha  Julai –Machi  2022  sawa  na asilimia  62 kwa mchanganuo ufuatao;-

  • Mapato  ya ndani  kiasi cha TZS 1,890,374,187.76sawa na asilimia 68.48
  • Ruzuku  ya  Mishahara  kiasi cha TZS 14,960,365,730.00 sawa na asilimia 60
  • Matumizi  mengineyo   kiasi  cha TZS 1,023,239,089.97 sawa   na asilimia  54
  • Miradi ya  maendeleo   kiasi cha TZS 7,233,762,641.00    sawa  na asilimia 67

Kati ya    makusanyo   ya  kiasi  cha TZS TZS  1,890,374,187.76 yatokanayo  na mapato  ya ndani,  kiasi  cha TZS 69,749,121.47 ni  mapato fungwa (CHF, PAPO  KWA PAPO NA ADA  SHULE ZA SEKONDARI) na kiasi cha TZS 1,820,625,066.29 ni mapato yasiyofungwa (Mapato Halisi).”

Mbali na taarifa ya mapato, Mweka Hazina aliwasilisha taarifa ya matumizi, alisema kuwa  “ Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri iliidhinishiwa kutumia jumla ya TZS 40,424,734,297 kutoka katika  vyanzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na mapato ya ndani, Wahisani na Ruzuku toka Serikali Kuu.

Kwa kipindi cha Mwezi Machi 2022,Halmashauri  imetumia jumla ya TZS2,397,278,321.00 sawa  na  asilimia 06 ya lengo la matumizi kwa mwaka kwa mchanganuo ufuatao;-

  • Mapato  ya ndani -           TZS. 354,840,029.00 sawa na asilimia 13 ya lengo la mwaka,
  • Ruzuku ya Mishahara  - TZS 1,748,011,291 sawa na asilimia  7  ya lengo  la  mwaka
  • Matumizi Mengineyo   -  TZS 36,255,000.62 sawa na asilimia  2  ya  lengo  la mwaka
  • Miradi ya Maendeleo    - TZS  258,172,000.38 sawa na asilimia 2  ya lengo la mwaka

                                                                                                

Matumizi  hayo  yanapelekea  Halmashauri kutumia kiasi cha TZS 23,301,729,334 kwa  kipindi cha  Julai – Machi 2022  sawa  na asilimia  58.

Mchanganuo wa matumizi ya kuanzia Julai – Machi  2022 ni kama ifuatavyo:

  • Mapato  ya ndani              -         TZS 1,795,583,217.00 sawa na  asilimia 65
  • Ruzuku  ya  Mishahara    -         TZS  14,960,365,730.00sawa na asilimia   60
  • Matumizi   mengineyo     -         TZS  1,027,212,547.62 sawa   na asilimia 55 
  • Miradi ya  maendeleo      -         TZS 5,518,567,839.38 sawa    na asilimia  54 ”

Mbali na taarifa ya mapato na matumizi, iliwasilishwa taarifa ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na Afisa Mipango kwa niaba Mkurugenzi, alisema  “Kwa mwaka wa fedha 2021/22, Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga iliandaa mpango wa Maendeleo unaojumuisha mahitaji ya vipaumbele vya wananchi kama vilivyoibuliwa kupitia Mpango wa fursa na vikwazo kwa Maendeleo (O&OD). Wakati wa mchakato huo, Mipango na Bajeti za miradi ya vipaumbele iliombewa fedha kutoka Halmashauri, Serikali kuu, Mashirika ya kijamii, na Asasi zisizokuwa za kiserikali, aidha baadhi ya miradi ya maendeleo imeendelea kutegemea nguvu za Wananchi.     

BAJETI YA MIRADI ILIYOIDHINISHWA

Kwa mwaka wa fedha 2021/22, Halmashauri iliidhinishiwa kupokea na kutumia Fedha za maendeleo jumla ya Tsh. 12,426,554,000/=, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kati ya Fedha hizo, fedha za ndani (Local fund Serikali kuu) ni Tsh 4,385,713,000/= sawa na 35.3%, fedha za nje (Foreign fund) ni Tsh   6,996,641,000.00 /=  sawa na 56.3% na Fedha za Miradi ya makusanyo ya mapato ya ndani (Own source) ni 1,044,200,000.00/=  sawa na asilimi 8.4 ya Bajeti yote ya Maendeleo ya Halmashauri.

MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

Hadi kufikia tarehe 31, Machi 2021/22, Halmashauri imepokea  na kukusanya fedha za miradi ya Maendeleo Tsh.  9,724,369,411/- sawa na asilimia 78 ya fedha za Miradi kati ya kiasi hicho Tsh 4,405,130,330.79 ni mapokezi nje ya ukomo wa bajeti sawa na asilimia 47 ya mapokezi ya fedha za Miradi. Halmashauri imetumia Jumla ya Tsh.    5,028,478,822/- sawa na asilimia 52 ya mapokezi”

 

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa