• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KIKAO BAINA YA OFISI YA MKURUGENZI,OCD NA WAFANYABIASHARA.

Tarehe ya kuwekwa: August 20th, 2022

Leo Tarehe 20/08/2022 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya  Sumbawanga Bi. Lightness S. Msemo, Diwani wa kata ya Laela Mh. James Mwanilyela, OCD Ndugu J.Ntandu pamoja na watalam toka ofisi ya Mkurugenzi  wamefanya kikao cha ndani na wenyeviti wa mitaa,wafanya biashara hususani wafanyabiashara wa nyumba za kulala wageni  na wafanyakazi wao pamoja na wafanyabiashara wa chakula  wa mji mdogo wa Laela. Lengo la kikao hicho ilikuwa ni mwendelezo wa hamasa za sensa, maandalizi ya Mwenge na kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili wafanyabiashara hao.

Miongoni mwa mambo yaliyo ongelewa mbali na kutatua matatizo yanayo wakabili wafanya biashara hao ni kama yafuatayo.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Sumbawanga alisisitiza kuwepo na ushirikiano baina ya wamiliki wa nyumba za kulala wageni  na wafanyakazi toka ofisini kwake pamoja na wafanyakazi toka ofisi ya OCD lengo ni kuendelea kuboresha usalama wa maeneo ya mji mdogo wa Laela na viunga vyake.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Sumbawanga alisisitiza pia  swala la uwepo wa gonjwa la UVICO 19 na kuwasihi wafanyabiashara hao kuzingatia usafi kwa kuweka ndoo ya maji na vitakasa mikono kwa ajili ya wateja wao waingiapo na watokapo waweze kunawa mikono.

Jambo lingine lililo ongelewa ni elimu ya mlipa kodi, Afisa biashara wa Halmashauri ya Sumbawanga Mama Veronica Mwandiga alitoa elimu juu ya kulipa kodi ya huduma    (Service levy) pamoja na kuwasihi wafanya biashara kulipa kodi zao kwa wakati ili kuepusha usumbufu baina yao.

Pia aliongelea suala la uwepo wa daftari la wageni na kuwasihi wahudumu wa nyumba za kulala wageni wahakikishe wanasimamia kikamilifu wateja wao kujiandikisha kwenye daftari hilo, sio tu kwa usalama bali pia ili kuweza kusaidia kiwango sahihi cha kodi kinacholipwa na wamiliki wa nyumba hizo za kulala wageni.

Mganga mkuu wa wilaya Ndugu Y.Msuya nae alisisitiza swala la usafi, kwa upande wa wamiliki wa nyumba za kulala wageni alisisitiza uwepo wa usafi ndani na nje ya vumba ili kuepusha magonjwa kama vile magonjwa ya ngozi hasa kama mashuka hayatasafishwa na kunyooshwa vizuri kabla ya kutumiwa.

Upande wa wafanyabiashara wa chakula Mganga mkuu aliwasihi pia waweke maji ya moto ya kunawa wateja wao pia kuhakikisha vyakula vina andaliwa katika mazingira safi na salama ili kuepusha magonjwa ya mlipuko hususani kuumwa matumbo na pia itasaidia kupunguza kusambaa kwa UVICO 19.

OCD nae alipata wasaa wa kutoa neno kwa wafanyabiashara hao hasa wafanyabiashara wa nyumba za kulala wageni, OCD Ndugu J.Ntandu alisisitiza uwepo wa usalama na kama endapo itatokea mteja analeta usumbufu kwa wahudumu wa nyumba hizo za kulala wageni au kama hawajulikani walikotokea na hawataki kutoa ushirikiano basi wahudumu wasisite kutoa taarifa kwake ili  kuendelea kudumisha amani  katika eneo la mji mdogo wa Laela viunga vyake.

Bila kusahau swala la sensa viongozi wote kwa pamoja walisisitiza kila mmoja kuwa barozi wa kuhamasisha watu wajitokeze ili kuhesabiwa kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla.

Mwisho wafanyabiashara wali ishukuru ofisi ya Mkurugenzi pamona na ofisi ya OCD kwa kuwakutanisha kwa mala ya kwanza ili kuweza kutatua matatizo wanayo kutana nayo, kupata elimu mbalimbali toka kwa watalam na kuahidi kutoa ushirikiano kwa yote yaliyoagizwa.

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa