• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Kamati ya Siasa Wilaya yatembelea miradi ya maendeleo

Tarehe ya kuwekwa: June 17th, 2024

Kamati ya Siasa Wilaya ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya Ndg. Chrisant J. Kalasa imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, Miradi iliyotembelewa na maoni ya kamati hiyo katika kila mradi ni kama ifuatavyo:-

1. Shule ya Sekondari Kalumbaleza 

Wajumbe warifurahi juu ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM Kwa kujenga shule nzuri ya Sekondari na imeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa kutupatia fedha pia. Shule hiyo imekamilika na inatumika kwa sasa.

2. Ujenzi wa vyumba 3 vya Madarasa Shule ya MSINGI Mukamanye. 

Kamati imefurahishwa na usimamizi na ubora wa Mradi huo. Kamati ilipongeza uliongozwa Kata akiwemo Mhe. Diwani kwa ushirikiano na kushirikisha Jamii ipasavyo na kusababisha kuchangia nguvu zao kikamilifu, ambazo zimesababisha kukamilika Kwa mradi na kubaki na Salio.

3. Zimba - Ujenzi wa vyumba 3 vya Madarasa Shule ya Sekondari 

Kamati haijaridhishwa na maendeleo ya Ujenzi kwani Kasi ya Ujenzi siyo nzuri. Pia Kamati ilibaini Kuna ushirikiano dhahifu baina ya viongozi wa Kata hivyo kushindwa kushirikisha Jamii katika utekelezaji wa Mradi.

Chama kimeshauri ili kuhakikisha Mradi huu unakamilika tuombe Kampuni ya Helleumnobal Gas kusaidia nguvu za Wananchi.Kamati imeahidi kurejea tena Zimba kuona Kasi ya Ujenzi.

4. Kutembelea kikundi Vijana Bodaboda Sakalilo.

Kamati ya SIASA WILAYA imeipongeza Halmashauri Kwa kuwezesha kikundi hicho na kukikopesha Tsh 7,000,000/-. Aidha kikundi kimepongezwa Kwa jinsi kinavyofanya kazi na kufanikisha kurejesha fedha kiasi Cha Tsh 6,000,000/- Hadi Sasa.

Kamati imeshauri kuwa Halmashuri iwape kipaumbele kingine wakati wa utoaji wa mikopo ili kuimarisha Mtaji wao.

Halmashuri imeshauriwa kuongeza mkakati wa ukusanyaji wa madeni yote katika Vikundi vilivyokopeshwa.

5. Ujenzi wa Zahanati Liwelyamvula

Kamati ya siasa wilaya imeipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kwa kutoa kiasi cha shilingi Milion miamoja (100,000,000) ili kuwezesha ujenzi wa zahanati hiyo. Pia kamati imefurahishwa na mwamko mzuri wa wananchi katika kushiriki ujenzi kwa kuchimba msingi na kukusanya mawe.

Pia ilipongeza Halmashauri Kwa kuafiki Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji hicho. Kamati imeitaka Halmashuri kuhakikisha Mradi unasimamiwa Kwa karibu ili kuepusha mapungufu yanayoweza kujitokeza. Imeitaka Halmashauri kuhakikisha Mradi unakamilika kabla ya kuanza Kwa msimu wa Mvu,

6).Ujenzi wa vyumba 3 vya Madarasa Shule ya msingi Kipeta.

Kamati haikuridhishwa  na usimamizi wa Mradi Kwa jumla baada ya kubaini mapungufu mbali mbali yakiwemo, kuanza kupasuka Kwa Sakafu, namna ya upauaji na uandaaji wa taarifa juu ya ushiriki wa mchango wa Wananchi

Kamati imeshauri mambo yafuatayo yafanyike Halmashauri ione  namna ya uwekaji wa maru maru katika vyumba vya Madarasa, pia taarifa ya Mradi iandaliwe upya na iwasilishwe Ofisi ya Chama ikionesha mchanganuo wa gharama sahihi wa nguvu za Wananchi.

7). - Ujenzi wa vyumba vine  vya madarasa shule ya sekondari Mnokola 

Mradi wa ujenzi wa madarasahayo upo hatua za mwisho kamati ya Siasa Wilaya ilishauri kuwa Halmashuri ihakikishe Mradi unakamilika na unaanza kutoa huduma stahiki Kwa jamii ili kuondoa usumbufu wanaoupata wanafunzi wa kata hiy .

8). Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa 

Kamati ya Siasa Wilaya ilipongeza Serikali kujenga shule hiyo katika eneo la mji mdogo wa Laela uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga maana itapelekea mji huo kukua kwa haraka.

Kamati ilishauri Ujenzi wa jiko la dharula ifanyike mapema. Pia Kisima Cha maji kichimbwe mapema, ambapo Mkuu wa Wilaya alimuagiza Meneja wa RUWASA kuhakikisha na kuchimba kisima hicho Kwa kutumia mitambo ya Mkoa.

9).Ukarabati wa Vyumba 6 vya madarasa shule ya sekondari Mpui.

 Ukarabati unaendelea vizuri kwa ubora wa hali ya juu. Kamati ya Siasa Wilaya imeshauri kuwa usimamizi wa karibu uongezeke ili ukarabati huo ukamilike kwa ubora. Katika ukarabati huo Halmashauri imetoa kiasi cha shiringi 50,000,000 kamati ya Siasa Wilaya imeshauri Halmashauri kuongeza Kiasi cha shiringi 28,000,000 ili kukamilisha vyumba hivyo.

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa