• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA KWA MWAKA 2019/2020

Tarehe ya kuwekwa: January 28th, 2019


Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga imepitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020 yenye thamani ya shilingi 33,481,657,980/= katika kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga tarehe 26/01/2019.

Aidha katika kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mh. Kalolo Ntilla alisema maeneo ya vipaumbele ni uanzishwaji wa miradi ya maendeleo ambayo ni pamoja na ujenzi wa stendi katika kata za Mtowisa, Kilyamatundu, Ilemba na mji mdogo wa Laela.

Katika bajeti ya mwaka 2018/2019 Halmashauri imefanikiwa kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia katika shule za sekondari na msingi, uanzishwaji wa shule mbili za sekondari za Kipeta na Lula, ukamilishaji wa ujenzi wa jengo la walimu Kwela Sekondari (six in one), ukarabati wa miundombinu (madarasa, vyoo na bafu) Vuma sekondari. Aidha shule mbalimbali zimepatiwa vifaa kama bati na saruji ili kukabiliana na upungufu wa vyumba vya madarasa kwa wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza.

Kwa upande wa afya, Halmashauri imefanikiwa kuendeleza ujenzi wa kituo cha afya Milepa, ujenzi wa hospitali ya  Wilaya Mtowisa na upatikanaji wa madawa na vifaa tiba na vitenganishi kutoka asilimia 80 hadi 98 kutokana na ongezeko la bajeti. Onezeko la vituo vinavyotoa huduma za upasuaji wa dharura kutoka vituo 2 hadi 3.

Pia Mwenyekiti wa Halmashauri alizungumzia uharibifu wa barabara unaosababishwa na mifugo. Alisema wananchi wapewe elimu ya kutosha ili wasilime wala kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya eneo la hifadhi ya barabara.

Mh. Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dr. khalfany Haule alisisitiza suala la vitambulisho vya wajasilia mali kwa kuwa vinamsaidia mjasiliamali kutambulika, kupata mkopo kiurahisi, kinatumika mahali popote ndani ya nchi pia kinamsaidia mjasiliamali asiweza kulipa kodi ya aina yoyote.

Ndugu Albinus Mugonya ambaye ni Afisa Serikali za Mitaa Mkoa alialikwa kwenye kikao hicho na alizungumzia suala la wanafunzi wote waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu Halmashauri ihahikishe wanalipoti kwa wakati pia alizungumzia suala la kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato na kuhakikisha asilimia 10 za wanawake, vijana na walemavu ziendelee kutolewa kwa wakati.

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa