• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Siku ya mtoto wa Afrika

Friday 9th, May 2025
@


Historia siku ya mtoto wa Afrika

Siku ya mtoto wa Afrika  ni kumbukumbu ya mwaka 1976 ambapo waandamaji wanafunzi wa shule za Soweto Afrika ya Kusini waliandamana kupinga elimu iliyokuwa inatolewa kwa manufaa ya utawala wa kibaguzi wa makaburu. Maandamano hayo yalipok elewa na mikono isiyo na huruma na masikio yasiyo sikivu ya utawala wa kibaguzi na kusababisha vifo vya mamia ya wanafunzi ambao hawakuwa na silaha,idadi halisi ya waliouwawa haijulikani lakini inakadiliwa ni watoto 176 mpaka 700.
Hector Pieterson 13 anayejulikana kama ishala ya waandamanaji (The Symbol of the Protest) alikuwa ni mmoja wa watoto wa shule aliyepigwa risasi na askari,alikimbizwa kwenye Dispensari ya kijiji na kujulikana alifariki mda mfupi baada ya kupigwa risasi. Alipopigwa risasi Hector alibebwa na Mbuyisa Makhubo 18 akisaidiana na dada yake Hector aliyeitwa Antoinette 17,walikimbilia gari la mpiga picha Sam Nzima ambaye aliwapiga picha.

Hata leo imekuwa ni picha ya kumbukumbu(Iconic image) ya machafuko hayo.Siku ya kumbukumbu na jumba la maonyesho ya Hector Pieterson yalizinduliwa juni 16,2002
“Watu wangu, leo nipo huru kwa kuwa sitosahaulika kabisa, siku itatimia ambapo kila mmoja wetu atakuwa huru, huru kutokana na unyanyasaji, huru kutokana na woga,huru kutokana na kuuwawa,nyinyi ni vijana wadogo mtaishi hadi kujiona siku hiyo na hata kama sintofanikiwa kuiona siku hiyo ninyi mnatakiwa kusadiki tu mimi nitakuwepo siku hiyo,hapa ni nyumbani kwangu pahala pa kuishi.”
Hayo ni maneno yaliyotamkwa na Sarafina katika filamu iliyoigiza mauaji hayo ya juni 16,1976 huko Soweto.Inaaminika kuwa maandamano hayo yaliyofanyika miaka 41 iliyopita yalikuwa mwanzo wa kuangusha utawala wa kibaguzi nchini humo.
Juni 16,ilitangazwa rasmi mwaka 1991 na Jumuiya ya Umoja wa Afrika kuwa siku ya mtoto wa Afrika.Siku hii inatoa nafasi kwa wadau wote wa haki za watoto,zikiwamo serikali mbalimbali,mashirika yasiyo ya kiserikali na hata jumuia za kimataifa kuyatazama kwa kina matatizo yote yanayowakabili watoto katika bara letu la Afrika.

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa