• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Miradi ya Shilingi 8,753,603,292 yazinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi Wilaya ya Sumbawanga

Tarehe ya kuwekwa: September 21st, 2021

Mwenge wa Uhuru umekimbizwa wilaya ya Sumbawanga tarehe 20/9/2021 na kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi 10 ambayo ni Elimu 2, Maliasili 1, TEHAMA 1, Utoaji Mikopo 2, Afya 2, Mradi wa Umeme 1 na Barabara 1. Thamani ya miradi yote ni shilingi 8,753,603,292/-, kati ya kiasi hicho Serikali kuu imetoa Shilingi 8,632,087,292/-, Wilaya imechangia Shilingi 104,466,000/-, Wananchi wamechangia Shilingi 2,250,000/- na Wadau wengine wa Maendeleo Shilingi 14,800,000/-.

Ujumbe wa Mwenge

 Mwenge wa Uhuru wa Mwaka 2021 umebeba ujumbe Mkuu usemao’’TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu; Itumie kwa usahihi na Uwajibikaji’’’. Ujumbe huu unalenga kuhimiza umuhimu wa matumizi ya TEHAMA kwa maendeleo ya Watu kwani, kwa sasa matumizi ya TEHAMA kwa Wananchi yameongezeka katika nyanja mbalimbali za Kijamii Kilimo na ufugaji, Viwanda, Biashara, Afya na Elimu. Ongezeko la matumizi haya ya TEHAMA yamesaidia kwa kiasi kikubwa ongezeko la Uchumi na Ustawi wa Jamii kwani imerahisisha shughuli zao za kila siku. Pamoja na mafanikio hayo ya TEHAMA Wilaya imeendelea kusisitiza juu ya Matumizi sahihi ya TEHAMA. Hivyo Wananchi wanawajibu wa kufuata kwa usahihi matumizi ya TEHAMA kwa kufuata kanuni, Sheria na Taratibu. Hivyo Wananchi wanawajibika kutambua matumizi sahihi ya TEHAMA ikiwa pamoja na utunzaji wa miundombinu yake.

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa