• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Sumbawanga District Council
Sumbawanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji, Uthibiti wa Maji Taka
      • Ujenzi
      • Mazingira na Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Ufungaji wa Nyuki
      • Tehama
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya fedha utawala na mipango
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za jamii(Elimu, Afya na Maji)
      • Kamati ya ujenzi uchumi na mazingira
      • Kamati ya madili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Ratiba ya Mwenyekiti kuwepo Ofisini
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habrari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Kikao cha Baraza la Wah. Madiwani

Tarehe ya kuwekwa: October 29th, 2021

Kikao cha Baraza la madiwani kilichoketi tarehe 28/10/2021 katika ukumbi wa kituo cha kilimo Laela kikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Ndg Kalolo Ntila, kimepokea na kujadili taarifa mbalimbali ikiwemo taarifa ya mapato na matumizi ya Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, kikao hicho ambacho ni cha kwanza kwa mwaka wa fedha 2021

Upande wa mapato hadi kufikia Septemba 2021, Halmashauri imefanikiwa  kukusanya  jumla  ya    TZS   2,345,153,600.00 kutoka  kwenye  vyanzo mbalimbali.

Kati ya fedha hizo makusanyo   yatokanayo  na mapato ya ndani  ni kiasi cha TZS   370,808,391.11 sawa   na asilimia 13, Ruzuku  ya Mishahara  ni TZS  1,667,479,000.00  sawa  na asilimia 7, Mapato   mengineyo   ni TZS  34,071,500.00 sawa  na asilimia  2 na Fedha  za Miradi  ya Maendeleo ni kiasi  cha TZS  272,794,709.00  sawa   na asilimia 3.

Makusanyo  hayo  ya Mwezi  Septemba 2021  yamepelekea    kuwa  na  jumla ya   ya kiasi cha TZS 6,751,698,717.00 kwa  kipindi cha  Julai –Septemba 2021  sawa  na asilimia 17  kwa mchanganuo ufuatao;-

  • Mapato  ya ndani  kiasi cha TZS   781,688,987.30 sawa na asilimia 28
  • Ruzuku  ya  Mishahara  kiasi cha TZS 4,987,053,000.00 sawa na asilimia 20
  • Matumizi  mengineyo   kiasi  cha TZS 417,546,249.98 sawa   na asilimia   22
  • Miradi ya  maendeleo   kiasi cha TZS  565,410,479.28 sawa  na asilimia      5

Pia iliwasilishwa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hadi kufikia tarehe 30 Juni 2021,  Halmashauri imepokea kiasi cha shilingi 950,313,489/= kwa ajili ya miradi ya maendeleo saw ana asilimia 7.6 ya fedha ya miradi.

Kati ya fedha hizo, 567,563,383/= ni mapokezi ya fedha nje ya ukomo wa bajeti saw ana asilimia 59.4 ya mapokezi ya fedha za miradi. Halmashauri imetumia jumla ya shilingi 239,801,600.2 sawa na asilimia 42.25 ya mapokezi.

Kikao hicho kilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Mh. Sebastian Waryuba, aidha alitoa maelekezo kwa taasisi za Serikali kama TARURA na nyinginezo kuwa “wakati wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ni mafuruku kuwa na bajeti ya dharura (emergency budget) kwa sababu zinaongeza gharama za miradi na kusababisha miradi hiyo kutokukamilika kutokana na kuisha kwa fedha, hivyo ni lazima kuongeza umakini wakati wa uandaaji wa gharama za miradi” aliongeza kuwa mabadiliko ya gharama yafanyike tu pale ambapo kuna ulazima wa kufanya hivyo mfano barabara imepitiwa na mkondo wa maji.

Matangazo

  • Baraza la Mitihani Tanzania latangaza matokeo ya darasa la saba 2024 October 29, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Matokeo Ya Kidato Cha Sita Na Ualimu Ngazi Ya Cheti Na Diploma 2024 Yametangazwa July 13, 2024
  • Orodha ya asasi zilizopata kibali cha uangalizi wa uboreshaji wa daftari mwaka 2024/2025 June 26, 2024
  • Tazama

Habari Mpya

  • Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024

    September 05, 2024
  • Makabidhiano ya ofisi

    August 21, 2024
  • CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUKWA CHAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA

    July 25, 2024
  • Utekelezaji wa Agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa

    May 25, 2024
  • Tazama

Video

Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

Potifolio Yetu

  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya Utumishi
  • Wizara ya Kilimo
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana Nasi

    SUMBAWANGA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 229

    Simu ya Mezani: 025-2802133

    Simu ya Kinganjani: 0754634811

    Barua pepe: ded@sumbawangadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Hati Miliki©2017. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Haki zote zimehifadhiwa